1.Mkurugenzi wa Halimashauri ya
Wilaya Kishapu Bwana.Stephen M Magoigaakizindua moja katiyaVisima saba.
Afisa MradiMwandamizi Mama
Tina Mosha Akimtwisha maji Moja ya wanakiji wa IKONDA.
Moja visima vilivyo kuwa vikitumiwa
na wanachi kabla ya ujenzi wa visima vya kisasa.
Vijana waYouthCAN wakitoa elimu ya Mazingira, Majina Afya kwa njia ya Nyimbo Kijijini Ikonda
Nizar Selemani Mratibu wa shuguli za vijana katika shirika la NCA na Baraka Chedego ambae ni Mratibu wa Youth CAN wakizungumza jambo wakati wa mkutano na wanakijiji cha Ikonda
Vikundi Mbalimbali vyasanaa kutoka Kishapu vikitoa burudani wakati wa Mkutano.
Wananchi wa Kishapu wakifatilia mkutano kwa Umakini Mkubwa.
Wananchi wa Kishapu wakifatilia mkutano kwa Umakini Mkubwa.
MSAFARA WA VIJANA WATOA ELMU
YA MAZINGIRA NA AFYA KISHAPU
Youth Climate Activist
Network (YouthCAN) Tanzania Ni mtandao wa vijana wanaotoka kwenye taasisi za dini
mbalimbali wanaofanya shuguli mbalimbali za mazingira na afya kwa ujumla kwa kujitolea
chiniya Shirika la Norwegian Church Aid (NCA)
KuanziaTarehe 11/9 /2016
vijana hawa walianza masafara wa Kutembelea baadhi ya maeneo yaliyoathirika sana
na mabadiliko yatabianchi. Ili kutoa elimu ya Utunzaji wa mazingira, vyanzo vya
maji na usafi .baada ya kutoa elimu hiyo Halmashauri ya wiliya Kishapu Mkoani Shinyanga
wanatarajia kwenda Kutoaelimu hiyo Mkoani Manyara kwenyebaadhi ya vijijivilivyopo
Hanang. Hydom na Mbulu.
Licha ya kutoa elimu juu mazingira,
Majiana afya vijana hawa watapata nafasi ya kuzindua baadhiya Visima vya maji vilivyojengwa
na Shirika la Norwegian Church Aid (NCA) kwa kushirikiana na Washirika wake.
Ambapokwakuanzawamepatafursayakushirikiuzinduziwavisima
7 vilivyojengwakwamsaadawawatuwa Norway visimahivyovitasaidiakutatuatatizo la
majisafinasalamakatikavijiji vi 3 wiliyaniKishapu .ambavyoni IKONDA A,UBATA na
MWAWEJI.
Picha
zote na IMANI SELEMANI NSAMILA
















