Njile
Gonga (28) Huyu ndiye Jangili anadaiwa kutungua helkopta katika pori la
Akiba la Maswa lililopo katika Wilaya ya Meatu Mkoani, ambapo katika
tukio hilo rubani wa helkopta hiyo Rodgers Gower (37) raia wa uingereza
huku Mwenzake Nicholas Beste (43) raia wa Afrika Kusini akinususrika
kifo.
Iddy Mashaka (49) ambaye ndiye alikuwa Mkuu wa kitengo cha
Interejensia katika hifadhi ya taifa Ngorongoro, ambaye anadaiwa kuwa
kiunganishi Mkuu wa kutekeleza tukio la kutunguliwa kwa helkpta hiyo.