Jul 27, 2015

Ukawa watangaza kumkaribisha Lowassa

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa 
Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa leo wametangaza kumkaribisha aliyekuwa waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa kujiunga nao katika kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba.

chanzo: Hapa