Jul 17, 2015

MWANZA MPOOOO TAYARI.!!!!!....TAREHE 18. JULY.215 MANDELA HALL GOLDCREST HOTEL

 Si ya kukosa kwa mashabiki wa kweli wa soka kamata fursa yako saa na KWETU HOUSE wahi mapema katika ukumbi wa mandela hall ndani ya goldcrest hotel. jumamosi hii ya tarehe 18 july 2015 usahili utafanyika hapo na washindi watapatikana wahi mapema. FOMU zinapatikana JEMBE FM, EMIRA ELECTRONICS, KARIUA INVESTMENT, NA HAJJIS ENTERTAINMENT.