Mkurugenzi
wa kampuni ya Azam Hussein Moh’d Said akiwaelezea Waandishi wa Habari
juu ya safari ya Boti hiyo Kilimnjaro V zitakavyokuwa kati ya Zanzibar
na Dari-esaalam . ( Pcha zote Na Miza Othman Maelezo Zanzibar).
Captain wa Boti ya Kilimanjaro (V) Thomas akiwapa maelezo Waandishi wa Habari namana anavyoendesha Boti hiyo.
Baadhi
ya Waandishi wa Habari wakipanda katika Boti ya Kilimanjaro v
iliyozinduliwa jana ambayo inatarajiwa kufanya safari zake hivi karibuni
kati ya Zanzibar na Dar-esaalam.
Muonekano wa boti ya Kilimanjaro V.
HABARI JIACHIE BLOG