Jan 10, 2015

Safaricom yapunguza ada ya simu Ulaya

Wakenya na wateja wengine wa kampuni ya huduma za simu za mkononi Safaricom, wanatarajiwa kulipa ada za chini Zaidi kutumia simu zao barani Yuropa na Afrika Kaskazini na ya Kati.
Hii ni baada ya kampuni hiyo kutangaza kuwa imetia saini mikataba na kampuni za ruunu za kimataifa na serikali kadhaa katika hatua ambayo itapunguza ada za kutumia simu katika mataifa 21.
Mwandishi wetu Emmanuel Igunza na mengi zaidi.

Na BBCSWAHILI