Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa
Ritta Kabati (kushoto ) na Lediana Mafulu wakishiriki kucheza ngoma
na kikundi cha hamasa Iringa vijijini leo
Kiongozi wa kitaifa wa mbio za mwenge
Bw Juma Alli Simai akimtwika ndoo ya maji mkazi wa kijiji Lyamgungwe
Bi Renata Msemba mara baada ya kuzindua mradi huo wa maji leo
Miradi hiyo imejengwa kwa kiasi cha zaidi ya Tsh bilioni 1.7 imepongezwa baada ya mbio za mwenge wa Uhuru 2013 kuitembelea na kuizindua rasmi leo.