Oct 13, 2013

USIKU WA CHAKULA CHA HISANI ULIONDALIWA NA AMREF TANZANIA PAMOJA NA MONTAGE LIMITED WAFANA HAPO JANA SERENA HOTEL





  Baadhi ya Wawakilishi wa Makampuni yaliyoweza kudhamini Hafla ya Usiku wa Chakula Cha Hisani ulioandaliwa na AMREF Tanzania kwa kushirikiana na Montage Limited na Benk M wakipokea vyeti vya Shukrani kutoka Mgeni Rasmi Dk Mohamed Gharib Bilal ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo iliyofanyika jana katika Hotel ya Serena.


 Baadhi ya Wawakilishi wa Makampuni yaliyoweza kudhamini Hafla ya Usiku wa Chakula Cha Hisani ulioandaliwa na AMREF Tanzania kwa kushirikiana na Montage Limited na Benk M wakipokea vyeti vya Shukrani kutoka Mgeni Rasmi Dk Mohamed Gharib Bilal ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo iliyofanyika jana katika Hotel ya Serena.







Wadau waliohudhuria hafla ya Usiku wa Chakula Cha Hisani wakiangalia jiwe la Tanzanite lililokuwa likinadaiwa jana katika Hafla hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Serena
 
 





Wadau wakipata Msosi katika Hafla ya Usiku wa Chakula Cha Hisani uliofanyika jana katika Hotel ya Serena na kuandaliwa na AMREF Tanzania kwa Kushirikiana na Montage Limited na Benki M. Picha Zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog+wamburababu