May 27, 2025

HOTUBA YA BAJETI 2025/2026


 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo kuwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 tarehe 28 Mei, 2025.