Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini (DBSA), Bi. Buitumelo Mosako, baada ya kukamilisha mazungumzo yao yaliyojikita kujadilki namna ya kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na Benki hiyo, kando ya Mikutano ya Mwaka ya Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) iliyofanyika, Abidjan nchini Ivory Coast