
WATU
wanne wajeruhiwa leo baada ya gari moja lililokuwa kwenye msafara wa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Samia Hassan
Suluhu kutoka Mtwara kwenda wilayani Tandahimba kuanguka maeneo ya
Nanguruwe mkoani humo.
Majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Ligula