Aug 22, 2016

Audio: Lema Amjibu Waziri Mwigulu Kuhusu Maandamano Septemba 1

lemaWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba hivi karibuni akiwa ziarani mkoani Mtwara alizungumza na Askari wa Jeshi la Magereza Mkoani humo na kusema kuwa CHADEMA wasithubutu kuandamana kwani kwa kufanya hivyo si kuwa watakuwa wanatingisha kiberiti cha njiti, bali watakuwa  wanachezea gesi. Amesema kuwa sio kila kitu mtu anatakiwa kujaribu kwa sababu vingine huenda vikakuumiza.
MWIGULU AKIZUNGUMZA