
Meneja Uhusiano
wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(katikati)akiongea na waandishi wa habari
jijini Dar es Salam leo(hawapo pichani)wakati wa Uzinduzi wa Promosheni
ya ‘Kamata Mpunga’itakayowawezesha
wateja wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1
hadi
100.Ili mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma
neno “GO”kwenda namba 15544 aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja
kwa kutuma
neon”WIN”kwenda namba 15544 na mteja
atapata ujumbe wa kujibu maswali,Kushoto ni Mkuu wa kitengo cha huduma
za ziada
wa kampuni hiyo,Saurabh Jaiswal na Meneja wa huduma za ziada,Mathew
Kampambe.

Mkuu
wa kitengo
cha huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Saurabh Jaiswal(kushoto)na
Meneja
Uhusiano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu,wakimsikiliza Meneja wa huduma za
ziada
wa kampuni hiyo,Mathew Kampambe(kulia)akifafanua jambo kwa waandishi wa
habari(hawapo
pichani)kuhusiana na Uzinduzi wa Promosheni ya ‘Kamata Mpunga’ jijini
Dar es Salaam leo itakayowawezesha wateja
wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi
100.Ili
mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno
“GO”kwenda namba 15544 aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa
kutuma
neon”WIN”kwenda namba 15544 na mteja
atapata ujumbe wa kujibu maswali.


Baadhi ya
waandishi wa habari na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,wakiwa kwenye mkutano wa
Uzinduzi wa Promosheni ya ‘Kamata
Mpunga’ jijini Dar es Salaam leo itakayowawezesha wateja wa mtandao huo
kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi 100.Ili mteja aweze
kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno “GO”kwenda namba 15544 aidha
mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa kutuma neon”WIN”kwenda namba 15544 na mteja atapata ujumbe wa
kujibu maswali.