
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na balozi wa Norway hapa nchini Hanne-Marie
Kaarstand watatu kutoka kushoto mara baada ya kumaliza mazungumzo yao
Ikulu jijini Dar es Salaam.

wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
Balozi wa Norway hapa nchini Hanne-Marie Kaarstand Ikulu jijini Dar es
Salaam.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Balozi wa Norway hapa nchini Hanne-Marie Kaarstand mara baada ya
kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisoma
barua ya pongezi iliyowasilishwa kwake na Waziri kutoka Ofisi ya Waziri
Mkuu wa Malaysia Dato Sri Idris Jala ambaye ni Mjumbe Maalum wa Waziri
Mkuu wa Malaysia.