Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya
Mifugo, Mwigulu Nchemba, Bungeni Mjini Dodoma Aprili 20, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Feza ambao
Aprili 22, 2016 walikwenda Bungeni mjini Dodoma kwa ziara ya mafunzo.
Watendaji
wakuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zake wakimsikiliza Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowasilisha bungeni Mapitio na Mwelekeo
wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za
Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka 2016/2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha bungeni Mapitio na Mwelekeo wa
Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi
ya Waziri Mkuu kwa Mwaka 2016/2017.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na
Wenhye Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto) na Naibu wake, Dktt. Abdallah
Posi wakiteta bungeni mjini Dodoma Aprili 22, 2016.