
Waziri
wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhungo akizungumza na
wafanyakazi wa wizara ya nishati na madini na kufungua baraza la
wafanyakazi wa wizara yake katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.

Mwenyekiti
wa Baraza la wafanyazaki wa wizara ya Nishati na Madini, Selina
Msumbushi akizungumza na wafanyakazi wa wizara ya nishati na madini na
kusoma mapendekezo ya wafanyakazi hao leo katika mkutano wa kufungua
baraza la wafanyakazi uliofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Julius
Nyerere jijini Dar es Salaam leo.

Baadhi
ya wafanyakazi wa wizara ya Nishati na Madini wakiimba wimbo wa
Solidarity leo katika ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi katika ukumbi wa
Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi
wa wizara ya Nishati na Madini wakimsikiliza Waziri wa Nishati na
Madini, Profesa Sospeter Mhongo wakati wa ufungunzi wa Baraza la
wafanyakazi jijini Dar es Salaam leo.