Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)
Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama
Ardhi Alliance)wakizindua rasmi taasisi hiyo ambayo kazi yake kubwa ni
kuwatetea wanawake katika masuala mbalimbali yanayohusu umiliki wa
Ardhi, uzinduzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi za shirika
la Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA) Ilala jijininDar es
salaam.
Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)
Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama
Ardhi Alliance)wakikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi taasisi hiyo
ambayo kazi yake kubwa ni kuwatetea wanawake katika masuala mbalimbali
yanayohusu umiliki wa Ardhi.
Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi akionyesha huku Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)
Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama
Ardhi Alliance) na wanachama wenzake wakifurahia mara baadea ya kuzindua
rasmi taasisi hiyo ambayo kazi yake kubwa ni kuwatetea wanawake katika
masuala mbalimbali yanayohusu umiliki wa Ardhi, Kulia ni Mkurugenzi
Mtendaji wa TAWLA Tike Mwambipile.
Mkurugenzi wa Woman Fund Tanzania Mama Mary Lusindi akimpongeza Kaimu Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)
Imelda Lulu Urio kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya(Mama
Ardhi Alliance)mara baada ya kuizindua rasmi taasisi hiyo ambayo kazi
yake kubwa ni kuwatetea wanawake katika masuala mbalimbali yanayohusu
umiliki wa Ardhi
(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)