
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu Bw.
Eric Shitindi akizungumza na vijana (hawapo pichani) alipokuwa
akifungua kikao cha wadau wa maendeleo ya vijana katika kuchangia
uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini
Dar es Salaam.

Mkurugenzi
Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi akizungumza wakati wa kikao cha
wadau wa maendeleo ya vijana katika kuchangia uandaaji wa kanuni za
uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.

Mwezeshaji
Bw. Patrick Kipangula (aliyesimama) akitoa mada kwa wadau wa maendeleo
ya vijana wakati wa kikao cha kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji
wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.

Mjumbe wa
maendeleo ya vijana akichangia mada wakati wa kikao cha kuchangia
uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini
Dar es Salaam.