Feb 11, 2016

Naibu Waziri wa Afisi ya Makamu wa Rais Tanzania Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina Afanya Ziara Kutembelea Miradi ya Kuharibika na Tabia Nchi Zanzibar.

Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Eng Masauni akiwa katika ziara hiyo kutembelea eneo hilo la kilimani lililoharibika kwa kuliwa na bahari kutokana na Tabia Nchi. 
Eneo la Ufukwe wa Kilimani uliovyoliwa na Tabia Nchi kama unavyoonekana pichani wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Afisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina.
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania Mhe Eng Hamad Yussuf Masauni akitowa maelezo kwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina, wakati wa ziara yake hiyo leo katika eneo la kilimani Zanzibar. 
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania Mhe Eng Hamad Yussuf Masauni akitowa maelezo kwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina, wakati wa ziara yake hiyo leo katika eneo la kilimani Zanzibar. 
Sheha wa Shehia ya Kilimani akitowa maelezo kwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akitowa maelezo ya eneo mpja lililoathirika na Tabia nchi katika eneo la kilimani akimuonesha uliokuwa uwanja wa kilimani Stars kwa sasa uwanja huo umekuwa ni sehemu ya kukaa maji ya bahari wakati wa maji kujaa. na kufika karibu na sehemu ya makaazi ya wananchi.
Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira Tanzania Mhe Luhaga Mpina akitembelea eneo hilo wakati wa ziara yake kutembelea miradi ya Tabianchi Zanzibar akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar wakiwa kastika ufukwe wa pwani ya kizingo. 
Naibu Waziri wa Afisi ya Rais Muungano na Mazingira Tanzania Mhe Luhaga Mpina na Mbunge wa Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Nadi Mhe Eng Hamad Yussuf Masauni wakitembelea eneo la ufukwe wa pwani ya kilimani ilioathirika kwa kuliwa na bahari sehemu kubwa ya eneo hilo na kuingia maji katika maeneo ya jirani na makaazi.