Mbunge
wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Eng Masauni akiwa katika ziara hiyo
kutembelea eneo hilo la kilimani lililoharibika kwa kuliwa na bahari
kutokana na Tabia Nchi.
Eneo
la Ufukwe wa Kilimani uliovyoliwa na Tabia Nchi kama unavyoonekana
pichani wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Afisi ya Makamu wa Rais
Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina.
Mbunge
wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania Mhe
Eng Hamad Yussuf Masauni akitowa maelezo kwa Naibu Waziri wa Muungano na
Mazingira Mhe Luhaga Mpina, wakati wa ziara yake hiyo leo katika eneo
la kilimani Zanzibar.
Mbunge
wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania Mhe
Eng Hamad Yussuf Masauni akitowa maelezo kwa Naibu Waziri wa Muungano na
Mazingira Mhe Luhaga Mpina, wakati wa ziara yake hiyo leo katika eneo
la kilimani Zanzibar.
Sheha
wa Shehia ya Kilimani akitowa maelezo kwa Naibu Waziri wa Muungano na
Mazingira Mhe Luhaga Mpina akitowa maelezo ya eneo mpja lililoathirika
na Tabia nchi katika eneo la kilimani akimuonesha uliokuwa uwanja wa
kilimani Stars kwa sasa uwanja huo umekuwa ni sehemu ya kukaa maji ya
bahari wakati wa maji kujaa. na kufika karibu na sehemu ya makaazi ya
wananchi.
Naibu
Waziri wa Muungano na Mazingira Tanzania Mhe Luhaga Mpina akitembelea
eneo hilo wakati wa ziara yake kutembelea miradi ya Tabianchi Zanzibar
akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni
Zanzibar wakiwa kastika ufukwe wa pwani ya kizingo.
Naibu
Waziri wa Afisi ya Rais Muungano na Mazingira Tanzania Mhe Luhaga Mpina
na Mbunge wa Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Nadi Mhe Eng Hamad
Yussuf Masauni wakitembelea eneo la ufukwe wa pwani ya kilimani
ilioathirika kwa kuliwa na bahari sehemu kubwa ya eneo hilo na kuingia
maji katika maeneo ya jirani na makaazi.