Sehemu
ya nyumba za wakazi wa maeneo ya Kwa msisiri-Kinondoni jijini
Dar,yakiwa yamezungukwa na maji kufuatia mvua kubwa kunyesha usiku wa
kuamkia leo,kwa ni Mvua za masika zinaendelea kunyesha maeneo mbalimbali
ya nchi.
wakazi wa maneo ya Kwamsisiri wilayani Kinondoni wakitafuta namna ya kupita kufuatia njia kuzibwa na maji
(Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii)