Mfanyabishara mkubwa wa Chocolate duniani na
mmiliki wa Kampuni ya kutengeneza Chocolate nchini Italia, ya SILVIO BESSONO Bw
SILVIO BESSONO aikimzawadia Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Prof Audax
Mabula bidhaa zinazotengenezwa na kampuni yake.
Bw SILVIO BESSONO akifafanuliwa jambo kwenye ukumbi wa historia na
mratibu wa safari yake hapa nchini Bi Judith R. Mayuu baada ya kupata maelezo
kutoka kwa mtaalam wa Makubusho Bw Frank aliopo kushoto.
Bw SILVIO BESSONO akipokea maelezo kutoka kwa mtaalam wa Makumbusho Dr Amandus
Kweka juu ya fuvu la mwanadamu wa kale alie ishi miaka zaidi milioni 1.7
iliyopita ajulikanae kama Zinjanthropus lililopatikana huko ngorongoro Oldvuvai
mwaka 1975
Bw SILVIO BESSONO akisikiliza kwa makini
maelezo ya mtaalam wa Makumbusho ya Taifa Dr Agnes Gidna juu ya hifadhi ya masalia
ya mifupa ya wanyama wa kihistoria walioishi
takribani miaka 1.8 iliyopita.