Meneja
Mahusiano Programu za Wakulima Wadogo wa Benki ya NMB Plc, John
Machunda (kushoto) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo,
Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (wa pili kulia) alipotembelea banda
la NMB katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki
yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (wa pili
kulia) akimuuliza swali Meneja Mahusiano Programu za Wakulima Wadogo wa
Benki ya NMB Plc, John Machunda (kushoto) alipotembelea banda la NMB
katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki
yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Meneja
Mahusiano wa Kilimo cha Biashara wa Benki ya NMB Plc, Christopher
Mwalugenge (kulia) akifafanua maswali mbalimbali kwa wateja
waliotembelea Banda la Benki ya NMB Plc katika maonesho ya biashara kwa
wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar
es Salaam.
Meneja
Mahusiano wa Kilimo na Biashara wa Benki ya NMB Plc, Hamisi Mmomi
(kushoto) akifafanua jambo kwa mmoja wa wateja waliotembelea Banda la
Benki ya NMB Plc katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika
Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.