Jan 28, 2016

Banki ya NMB yashiriki maonesho ya wadau wa kilimo na Biashara Afrika Mashariki

Meneja Mahusiano Programu za Wakulima Wadogo wa Benki ya NMB Plc, John Machunda (kushoto) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (wa pili kulia) alipotembelea banda la NMB katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (wa pili kulia) akimuuliza swali Meneja Mahusiano Programu za Wakulima Wadogo wa Benki ya NMB Plc, John Machunda (kushoto) alipotembelea banda la NMB katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Meneja Mahusiano wa Kilimo cha Biashara wa Benki ya NMB Plc, Christopher Mwalugenge (kulia) akifafanua maswali mbalimbali kwa wateja waliotembelea Banda la Benki ya NMB Plc katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Meneja Mahusiano wa Kilimo na Biashara wa Benki ya NMB Plc, Hamisi Mmomi (kushoto) akifafanua jambo kwa mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Benki ya NMB Plc katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.