Ujumbe
wa Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu
wa Serikali Dkt. Servacius Likwelile wakisalimiana na Mkurugenzi wa
Shirika la Fedha la Kimataifa Bi. Christine Lagarde wakati akiingia
kwenye ukumbi wa mkutano.
Katikati
ni Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa Bi. Christine Lagarde
akinukuu hoja zilizokuwa zikijadiliwa katika mkutano huo.