Mkurugenzi
wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza
kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo
pichani) wakati wa uzinduzi wa chapa mpya ya saruji iitwayo “Tembo
Supaset 42.5”leo Oktoba 12, 2015 katika ofisi zao jijini Dar es Salaam.
Anayemfuatia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Lafarge Tanzania, Catherine
Langreney pamoja na Mkurugenzi wa Mauzo, Stanslaus Mmbaga. 

Afisa
Mtendaji Mkuu wa Lafarge Tanzania, Catherine Langreney (katikati)
akishangilia pamoja na Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge
Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza kulia) pamoja na akiwa na Mkurugenzi
wa Mauzo, Stanslaus Mmbaga mara baada ya uzinduzi wa chapa mpya ya
saruji iitwayo “Tembo Supaset 42.5” katika ofisi zao jijini Dar es
Salaam.

Mkurugenzi
wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza
kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo
pichani) wakati wa uzinduzi wa chapa mpya ya saruji iitwayo “Tembo
Supaset 42.5” katika ofisi zao jijini Dar es Salaam. Anayemfuatia ni
Afisa Mtendaji Mkuu wa Lafarge Tanzania, Catherine Langreney pamoja na
Mkurugenzi wa Mauzo, Stanslaus Mmbaga.

Afisa
Mtendaji Mkuu wa Lafarge Tanzania, Catherine Langreney (katikati)
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi
wa chapa mpya ya saruji iitwayo “Tembo Supaset 42.5” katika ofisi zao
jijini Dar es Salaam. ambapo alisema Tembo Supaset ni matokeo ya utafiti
makini uliofanywa na wataalamu wetu na imetengenezwa mahususi kukidhi
mahitaji ya soko.