Mgeni rasimin Meya wa Ilala Jerry
Silaha akimnadi mgombea uwakilishi Simai Mohammed Said wa Jimbo la
Tunguu kwa wananchi wa Mkoa huo.
Mgeni rasimi Meya wa Ilala Jerry
Silaha akimnadi mgombe Ubunge wa Jimbo la Tunguu Khalifa Salim Suleiman
katika Mkutano ulifanyika kiwanja cha Jumbi Skuli.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Meya wa Wilaya ya Ilala Dar es
Salaam Jerry Silaha akisalimiana na viongozi wa CCM wa Mkoa wa kusini
Unguja katika Mkutano wa kampeni uliofanyika kiwanja cha Jumbi Skuli.