Mgeni
rasmi Waziri wa Mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh.
Bernard Membe akitoa hotuba katika kilele cha maadhimisho ya miaka 70 ya
Umoja wa Mataifa.
Rais
Mstaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamin William Mkapa akizungumza kwenye
kilele cha maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa.
Mgeni
rasmi Waziri wa Mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh.
Bernard Membe (kulia) akimpongeza Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mh.
Benjamin William Mkapa kwa hotuba nzuri aliyoitoa.
Mratibu
wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la
Maendeleo (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez akizungumza machache
kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa kabla ya
kumkabidhi tuzo maalum Waziri wa Mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa, Mh. Bernard Membe (wa pili kushoto) iliyoshuhudiwa na Katibu
Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Liberata Mulamula na Mkurugenzi wa Idara ya
Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (kushoto).
Mratibu
wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la
Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akimkabidhi Waziri wa Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mh. Bernard Membe tuzo ya Umoja wa
Mataifa iliyotolewa kwa kuzingatia mchango wake katika Maendeleo ya
Milenia (MDGs) na Maendeleo Endelevu (SDGs) katika maadhimisho ya miaka
70 ya Umoja huo jana katika viwanja vya Mnazi mmoja.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi
Liberata Mulamula (katikati) akimpongeza Waziri wa Mambo ya nchi za Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Bernard Membe mara ya kukabidhiwa na
Umoja wa Mataifa kwa kutambua mchango wake katika Maendeleo ya Milenia
(MDGs) na Maendeleo Endelevu (SDGs) katika maadhimisho ya miaka 70 ya
Umoja huo jana katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar.