Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi akizungumza
na wananchi juu ya kutambua michango ya kimaendeleo inayofanywa na
wanawake kwa kuwawekea kumbukumbu kama ilivyo kwa wanaume, ili kuleta
uwiano wa kijinsia leo Jiji Dar es Salaam katika kilele cha tamasha la
Jinsia.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi akiteta jambo na Ruth Meena.
Wanawake wakitaja baadhi ya matatizo ambayo yanayowakabili ni pamaoja na suala la upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama maeneo mbalimbali nchini.
Wanawake
wameitaka tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) kutofumbia macho suala la
matusi na kejeli zinazofanywa na viongozi wa siasa katika kampeni zao.