Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi
mgombea Ubunge pamoja na madiwa katika uzinduzi wa kampeni jimbo la
Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu jijini
Arusha(Picha zote na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha)