Meneja Mauzo wa Airtel Kagera ,
Mohamed Kabeke (kushoto) akimkabithi pesa taslimu bwana Mwahamadi Katula
(24) mfanyabiashara na mkazi wa mkoa wa Kagera , mara baada ya kuibuka
mshindi wa shilingi milioni 3 katika droo ya wiki ya tano ya promosheni
ya Jiongeze na Mshiko inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya
Airtel.

Afisa
uhusiano na matukio, Bi Dangio Kaniki akiongea na mshindi aliyepatikana
wakati wa kuchezesha droo ya sita ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na
Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Mbeya na Dar es
Salaam walipatikana akichukua taarifa za mshindi (kushoto) ni mkaguzi
kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Bakari Majid na Afisa huduma
za ziada Airtel bwana Fabian Felician.(kulia) droo hii imechezwa jana
katika makao makuu ya Airtel Moroco jijini Dar es saalam,.