Aug 29, 2015

TASWIRA YA MAGUFULI ALIVYOTUA NJOMBE

Magufuli (1)
Magufuli (2)
Mgombea urais wa CCM, Dkt. John Pombe Magufuli, akiwahutubia wananchi wa Mkoa wa Njombe katika kampeni za Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015.