Aug 26, 2015

Serikali yasaini mkataba wa zaidi ya Sh. Bilioni 422 kuimarisha sekta ya afya nchini.

1
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini katika hafla iliyofanyika leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
2
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya mkopo nafuu na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird (kulia) mara baada ya kusaini hati hiyo ya makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini leo jijini Dar es salaam.
3
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kusaini hati ya makubaliano kuimarisha sekta ya afya nchini leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
4
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird (kulia) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kusaini hati ya makubaliano kuimarisha sekta ya afya nchini leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile.