Mshambuliaji
wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said
katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es
Salaam. Yanga imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akjimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdulkadir.
Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdukadir.