akizungumza na wanahabari waliofika katika ukumbi huo wakati wa kuhitimisha ziara yake ya kukusanya wadhamini 450 mjini dodoma
Prof: James Mark Mwandosya akikaribishwa na Muhammed Sief Khatib
safari ngumu ya kuwataka wawania uraisi ndani ya Nchi yaTanzania imekuwa gumzo kila kona kwani kulingana na utitiri wa watangaza nia kutaka kuwania urais Mheshimiwa Mwandosya amewasilisha wadhamini wake kulingana na idadi iliyotolewa katika Ofisi ya NEC idadi hiyo iliyowataka wagombea wote kufikisha wadhamini 450 kwa mikoa yote ya tanzamia. Mhe mwandosya amekwsha wasilisha na kukabidhiwa hati ya kukabidhi wadhamin wake akiwa na furaha tele na kuwashukuru wale wote waliojitokeza katika kumpa kamapani ya mchakato mzima.


