Staa wa muziki Chegge Chigunda ameweka wazi kuwa baada ya kuona
ukubwa na mafanikio ya projekti ya filamu aliyofanya huko Nairobi,
katika siku zijazo ataanza kuonekana katika Tamthilia ya Muendelezo ama
Series ya kazi hiyo ambayo ilifanyika miaka kadhaa iliyopita.
Chegge ambaye hivi sasa anatamba katika chati mbali mbali kupitia
kazi yake mpya inayokwenda kwa jina 'Mwananyamala', ambaye ameeleza kuwa
atatanguliza projekti ya awali ya kazi hiyo ambayo imekwishakamilika,
anatarajiwa kuwa kivutio kikubwa kwa upande huo wa uigizaji.
Staa wa muziki Chegge Chigunda ameweka wazi kuwa baada ya kuona
ukubwa na mafanikio ya projekti ya filamu aliyofanya huko Nairobi,
katika siku zijazo ataanza kuonekana katika Tamthilia ya Muendelezo ama
Series ya kazi hiyo ambayo ilifanyika miaka kadhaa iliyopita.
Chegge ambaye hivi sasa anatamba katika chati mbali mbali kupitia
kazi yake mpya inayokwenda kwa jina 'Mwananyamala', ambaye ameeleza kuwa
atatanguliza projekti ya awali ya kazi hiyo ambayo imekwishakamilika,
anatarajiwa kuwa kivutio kikubwa kwa upande huo wa uigizaji.
Eatv.tv
