Jun 29, 2015

Baridi ya Uingereza Ilimtesa Esha Buheti

MWIGIZAJI nyota wa kike Bongo Esha Buheti amefunguka kuwa baridi aliyokutana nayo nchini Uingereza hakutamani kuendelea kubaki London kwani toka azaliwe hajawahi kukutana na baridi kama aliyokutana na nayo huku, kwa alitamani kurudi Bongo.
wanasema kuna baridi Iringa sijui Tanga na sehemu nyinginezo lakini lile la London si baridi bali ni hatari, nilikuwa nimekata tamaa na kutaka kurudi kwani baridi ilikuwa kali sana,”anasema Esha.
Msanii huyo alikuwa nchini Uingereza kurekodi filamu akiwa na wasanii wengine ambao walikuwa na Yusuf Mlela, Husna Chobis wakiungana na wasanii wengine kutoka Afrika Mashariki Naijeria na waishio Uingereza Esha anasema kwa sababu alikwenda msimu wa baridi hakufurahia kabisa kwani muda mwingi alishinda ndani.
FC/bongo movies