Meneja Mahusiano, Alex Modest, (kulia)akizungumza na waandishi wa
habari (hawapo pichani) katika semina hiyo watatu kulia ni Meneja
mikakati kutoka (TBDC) George Kibakaya (kushoto) Mwenyekiti TEITI,Jaji
Bomani,wa pili kushoto mwandishi mchambuzi, John Bwire,(katikati) ni
Halfani Halfani kutoka (Oil Gas Association Tanzania-OGAT).
Afisa
mahusiano Mkuu wa TEITI, Catherine Mbatia akielezea juu ya TEITI,
wakati wa Warsha hiyo iliyowakutanisha wandishi wa habari za biashara na
wadau mbalimbali ikiwemo wadau wa madini.
Mwenyekiti TEITI, Jaji Bomani (kushoto ) akichangia mada katika warsha
hiyo, wengine ni Mwanahabari na mchambuzi John Bwire, akifuatiwa na
Halfani Halfani wa OGAT, Meneja mikakati kutoka (TBDC) George Kibakaya
pamoja na Godvictor kutoka kampuni ya madini ya Geita.
Wadau wa sekta ya madini na wanahabari wakifuatilia mada katika warsha hiyo.