May 12, 2015

KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.

Safari ya siku tatno kwa ijana hao ikahitimishwa katika kilele cha Uhuru Peak ,kama wanayoonekana ijana hao wakiongozwa na mratibu wa marafiki wa Lowasa Kanda ya Kaskazini ,Noel Nnko(mwenye koti la rangi nyekundu kulia).
Safari ya kurudi kiasi ilikuwa tatizo wakati mwingine baadhi yao walilazimika kupewa msaada kwenye kifaa maalumu cha kushushia wageni waliopata maatizo .
Baadhi ya vijana ambao ni marafiki wa Lowasa wakiwa katika safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.