
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open
Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2015


Mkurudenzi Mtendaji wa taasisi ya Twaweza Bw. Brian Eyakuze
akimkaribisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete kupokea tuzo maalumu ya
taasisi zisizo za kiserikali kwake kwa kuwa kiongozi aliyetekeleza kwa
vitendo masuala ya Serikali ya Uwazi na Ushirikiano. Hii ni wakati wa
ufunguzi wa mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP)
katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam leo Mei 20, 2015

Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya Twaweza Bw. Brian Eyakuze akimkabidhi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete tuzo maalumu ya Asasi za Kijamii kwake kwa
kuwa kiongozi aliyetekeleza kwa vitendo masuala ya Serikali ya Uwazi na
Ushirikiano. Hii ni wakati wa ufunguzi wa mkutano wa siku mbili wa
Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano
wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2015.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kusoma hotuba ya JK BOFYA HAPA