
Huu ndio Mpira uliotumika katika Mchezo wa leo baina ya Yanga na FC Platinum katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo.

Kikosi cha Yanga.

Kikosi cha FC Platinum.
Beki wa Yanga,Kelvin Yondani akiondosha hatari langoni kwake wakati wa mchezo wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika,uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Mshambuliaji
Machachari wa Timu ya Yanga,Mrisho Khalfan Ngassa akiichambua ngombe ya
Timu ya Fc Platinum ya nchini Zimbabwe katika mchezo wa Mashindano ya
Kombe la Shirikisho barani Afrika,uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es salaam.Yanya imeshinda Bao 5 - 1.

Mchezaji
wa Yanga,Simon Msuva akiangalia namna ya kuwatoka mabeki wa Timu ya Fc
Platinum ya nchini Zimbabwe katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la
Shirikisho barani Afrika,uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es salaam.Yanya imeshinda Bao 5 - 1.


Mrisho Ngassa akifanya yake uwanjani hapo.
Amis
Tanbwe wa Yanga na Gift Bello wa FC Platinum wakiwania mpira wa juu
wakati wa mchezo wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho barani
Afrika,uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Salum
Telela wa Yanga akiipachikia timu yake bao la kuongoza wakati wa mchezo
wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika,uliochezwa leo kwenye
Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Wachezaji wa Timu ya Yanga wakishangilia ushindi wao.
Beki wa timu ya Yanga,Juma Abdul akiangalia nafasi ya kupeleka mpira.

Simon Msuva akichuana na Gift
Bello wa FC Platinum wakati wa mchezo wa Mashindano ya Kombe la
Shirikisho barani Afrika,uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es salaam.

Msuvaaa
Furaha
ya Ushindi: Kiungo mchezeshaji wa timu ya Yanga,Haroun Niyonzima
akiongoza mashabiki wa Timu ya Yanga kushangia goli lao dhidi ya Fc
Platinum ya nchini Zimbabwe katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la
shirikisho,uliochezwa leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
leo. Yanya imeshinda Bao 5 - 1.









