.jpg)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Ghariba
Bilal akisalimiana na Ofisa mtendaji Mkuu wa kampuni ya Property
International Abdulhalim Zahran, alipowasili Hoteli ya Hyatt Regency Dar
es salaam kwa ajili ya kuzindua rasmi mpango wa PILA-1 “JENGA KWA
MPANGO EPUKA MAKAAZI HOLELA” na Jarida linalotolewa kila wiki Property
International Magazine.
.jpg)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Ghariba
Bilal akihutubia Viongozi na watendaji wa kampuni ya Property
International inayomilikiwa na watanzania wanaoishi Nchini Dubai wakati
wa uzinduzi rasmi mpango wa PILA-1 “JENGA KWA MPANGO EPUKA MAKAAZI
HOLELA” na Jarida linalotolewa kila wiki Property International
Magazine, uzinduzi huo umefanyika jana katika Hoteli ya Hyatt jijini Dar
es salaam.
.jpg)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Ghariba
Bilal akizindua rasmi mpango wa PILA-1 “JENGA KWA MPANGO EPUKA MAKAAZI
HOLELA” uzinduzi huo umefanyika jana katika Hoteli ya Hyatt jijini Dar
es salaam.
.jpg)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Ghariba
Bilal akiagana na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Property
International LTD Mr. Mohammed Sharif baada ya kuzindua rasmi mpango wa
PILA-1 “JENGA KWA MPANGO EPUKA MAKAAZI HOLELA” katika Hoteli ya Hyatt
jijini Dar es salaam.