Tangu mwaka 2008 Ghana imepoteza mechi moja kati ya 11 katika makundi ya mechi za mataifa ya afrika.
Timu hiyo kwa jina the Black stars imecheza bila kushindwa katika mechi zake kumi za makundi.Senegal nayo imecheza mechi 11 huku ikipoteza kadhaa na kudhina nyengine.
Simba hao wa Teranga wameshindwa kushinda michuano mitatu ya mechi za kombe la mataifa ya afrika dhidi ya Ghana.
