WAFANYAKA WA VODACOM TANZANIA WANUFAIKA NA SEMINA YA MASWALA YA UDHIBITI WA KIPATO
Mshauri
wa maswala ya uchumi na fedha Consultant Service Excellence,Joy
Nyabongo akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania jinsi ya
kuweza kudhibiti matumizi ya kipato binafsi.Semina hiyo ilifanyika
katika ukumbi wa sinema mlimani City jijini Dar es Salaam leo.
Mfanyakazi
wa Vodacom Tanzania wa kitengo cha IT Josephat Kyando akichangia hoja
wakati wa semina ya jinsi ya udhibiti wa matumizi ya kipato binafsi
iliyofanyika katika ukumbi wa sinema mlimani City jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya wafanyakazi wakimsikiliza mshauri wa maswala ya uchumi na fedha
Consultant Service Excellence,Joy Nyabongo(hayupo pichani) wakati wa
semina maalumu kwa wafanyakazi hao ya jinsi ya kudhibiti matumizi ya
kipato binafsi.Semina hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa sinema mlimani
City jijini Dar es Salaam leo.