
Mchezaji
wa timu ya Vodacom Tanzania Hans Henry akijaribu kumtoka beki wa timu
ya CBA Anjerus Ngimbo wakati wa bonaza lillozishirikisha timu za
makampuni mbalimbali lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya
shule ya msingi ya Ushindi iliyopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam,
Timu ya Vodacom ilifungwa 1-0 na timu ya CBA.

Mshambuliaji
hatari wa timu ya Vodacom Hans Henry akiwania mpira na mabeki wa timu
ya benki ya CBA wakati wa mchezo uliofanyika kwewnye uwanja wa shule ya
msingi ya Ushindi iliyopo mikocheni B, ikiwa ni bonanza la
kuwakutanisha wafanyakazi wa makampuni mbalimbali katika hali ya
kubadilishana mawazo na kufahamiana kupitia michezo.Timu ya Benki ya CBA
ilishinda Vodacom 1-0.

Mshambuliaji
wa timu ya benki ya CBA Austino Mapambano akikabiliana na beki wa
timu ya Vodacom Tanzania Poul Kaiza (kulia) wakati wa mchezo wao katika
bonanza lililofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi ya Ushindi ya
Mikocheni B jijini Dar es Salaam,Bonanza hilo lilihusisha timu za
makampuni mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kujenga urafika wa makampuni
hayo kupitia michezo,Vodacom ililazwa na CBA kwa 1-0.

Mlinzi
wa timu ya Benki ya CBA Austino Mapambano akijaribu kumdhibiti
mshambuliaji wa timu ya Vodacom Hans Henry wakati wa mchuano wao wa
bonanza uliozishirikisha timu za makampuni mbalimbali uliofanyika kwenye
uwanja wa shule ya msingi ushindi Mikocheni B jijinji Dar es Ssalaam,
lililozishirikisha timu za makampuni mbalimbali katika uwanja wa shule
ya msingi Mikocheni B ikiwa ni sehemu ya kujenga undugu na urafika wa
makampuni hayo kupitia michezo Vodacom ilitandikwa goli 1-0.

Mlinzi
wa timu ya benki ya CBA Amrani Mlawa akimiliki mpira mbele ya
washambuliaji wa timu ya Vodacom Tanzania wakati wa mchuano ya bonanza
iliyofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi ya ushindi Mikocheni B
jijini Dar es Salaam, lililozishirikisha timu za makampuni mbalimbali
ikiwa ni sehemu ya kujenga undugu na urafika wa makampuni hayo kupitia
michezo CBA ilishinda 1-0

Wachezaji
wa timua ya Vodacom Tanzania wakiwania mpira mbele ya walinzi wa timu
ya benki ya CBA wakati wa mchuano wa bonanza uliofanyika kwenye uwanja
wa shule ya msingi ushindi Mikocheni lililozishirikisha timu za
makampuni mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kujenga undugu na urafika wa
makampuni hayo kupitia michezo CBA ilishinda 1-0.

Baadhi
ya wachezaji wa timu ya Vodacom wakiupdate mitandao yao ya kijamii
kupitia simu zao za mkononi kuhusiana na bonanza iliyofanyika kwenye
uwanja wa shule ya msingi ya ushindi Mikocheni B jijini Dar es Salaam,
lililozishirikisha timu za makampuni mbalimbali ikiwa ni sehemu ya
kujenga undugu na urafika wa makampuni hayo kupitia michezo CBA
ilishinda 1-0

Kikosi
cha timu ya Vodacom Tanzania wakijifua kabla ya kuanza kwa mchezo wao
na timu ya benki ya CBA wakati michezo ya bonanza lililozishirikisha
timu za makampuni mbalimbali katika uwanja wa shule ya msingi ya
Ushindi ya Mikocheni B ikiwa ni sehemu ya kujenga undugu na urafika wa
makampuni hayo kupitia michezo,Vodacom ililazwa na CBA kwa 1-0.

Kikosi
cha timu ya benki ya CBA kikiwa pamoja na kikosi cha timu ya Vodacom
Tanzania kabla ya mchezo wao wa bananza lenye lengo la kujenga undugu
na urafika wa makampuni hayo kupitia michezo kuanza,ambapo Vodacom
ililazwa na CBA kwa 1-0.

Kikosi
cha timu ya Vodacom kilichofungwa na timu ya benki ya CBA 1-0. Kwenye
mchuano wa bonanza lililozishirikisha timu za makampuni mbalimbali
katika uwanja wa shule ya msingi ya ushindi Mikocheni B ikiwa ni sehemu
ya kujenga undugu na urafika wa makampuni hayo kupitia michezo.