PINDA AAGANA NA MWAKILISHI MKAZI WA UNIDO NCHINI
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya kinyago Mwakilishi Mkazi wa
UNIDO nchini aliyemaliza muda wake, Bw. Emmanuel Kalenzi ambaye
alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu kuaga Novemba 13, 2014. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa UNIDO nchini
aliyemaliza muda wake, Bw. Emmanuel Kalenzi ambaye alikwenda ofisini
kwa Waziri Mkuu kuaga Novemba 13, 2014.