Sep 26, 2014

MAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS WA UN WA KUWAJENGEA UWEZO WANAWAKE NA WASICHANA KIFEDHA

IMG_2587
IMG_2648
IMG_2668
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake kwenye mkutano wa Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Umoja wa Mataifa uliozungumzia masuala ya kuwawezesha wanawake na wasichana kifedha huko New York Marekani tarehe 25.9.2014. IMG_2703Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipiga picha ya pamoja na Mama Joyce Banda (kushoto) na wa kwanza kulia ni Mama Dianne Stewart, Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Uhusiano wa Shirika la United Nations Populations Fund akifuatiwa na Bi Mpule Kwelagobe, Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa MPULE Institute for Indogenous Development. IMG_2713
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria mkutano wa Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Umoja wa Mataifa. Kutoka kushoto ni Mama Kim Barrow, Mke wa Waziri Mkuu wa Belize, Mama Joyce Banda na wa kwanza kushoto ni Mama Dianne Stewart. PICHA ZOTE NA JOHN LUKUWI