Sep 12, 2014

  ajali ya piki piki na gari aina ya toyota land cruiser imetokea maeneo ya barabarati ya nyerere katikati ya mataa ya kuruhusu magari ajali hiyo imtokea tu pale mataa yalipokuwa yakiruhusu gari za upande wa kushoto zipite na ndipo dereva wa pikipiki alijikuta katika wakati mgumu pale tu
alipojifanya kuwa na haraka na kukutana na gari hilo tarfic walikuwepo na walishuhudia ajali hiyo na dereva wa ajali hiyo ya piki piki amepata tu maraehara sehemu za mabega na miguu

 piki piki iliyo pata ajali eneo la mataa jijini mwanza

 dereva wa piki piki akiwa ameumia huku akiwapigia ndugu zake simu baada ya ajali hiyo

 baadhi ya raia wakimpakia dereva wa piki piki katika gari aina ya land cruiser aliyo sababisha ajali

 umati wa watu wakishangaa ajali hiyo eneo la mataa  jijini mwanza