Jul 10, 2014

Download Baghdad Ft. Dream - Haters


 
Baada ya kukaa kima kwa zaidi ya miezi 10 tangu alipounganisha waliokuwa maasimu wakubwa wa mziki

wa Hip Hop nay Wamitego na Chidi Benz katika wimbo wa waambie nipo,

Baghdad ameeleza ya kuwa ukimya wake wa muda mrefu ulitokana na kushughulikia muonekano wake

mpya na pia ameeleza nia ya kusimama kutokuachia wimbo ni baada kampuni aliyosighn nayo mkataba

wa kuuza coller tune kutokufanyia kazi mawazo yake na alikubaliana nao endapo wakiwa na masharti

mazuri basi wanaweza wakaangia mkataba tena baada ya kuvunja mkataba wa awali,

Baghdad ameeleza ya kuwa wimbo wake mpya umefanywa na prod abbah process chini ya rec lablle ya

vipaji tz aliomshirikisha dream itaingia mtaani kwa jina la haters imeshafanyiwa video na kamuni ya next

level dir adam juma na iko tayari na ameelezea ya kuwa itatoka siku chache baada ya audio kutoka....

Baghdad amesema ya kuwa kwa wiki nzima kuanzi jumamosi mpaka jumamosi ijayo ya tar 18 atakuwa

akitoa muda wa maongez wa shilingi elfu 5 kwa watakaokuwa wamepatia jibu la swali atakalokuwa

ameuliza kwenye mitandao ya kijamii. Njia za kuwasiliana na bahdad ni hizi zifuatazo

Face book page : Baghdad pg kweka,

instagram bagh_dad,

twiter kwekapraygod.

Bonyeza HAPA kusikiliza na Ku Download