Jun 23, 2014

MAJAMBAZI YAUA SISTA UBUNGO




 Wananchi wakiwa eneo la tukio.

 Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi.

 Ganda la risasi likiwa eneo hilo la tukio.
 Dereva akiwasiliana na jamaa zake baada ya kupigwa risasi na sista aliyekuwa naye kuuawa.

Kidole cha dereva kilichokatwa kwa risasi.


SISTA wa Parokia ya Makoka iliyopo Kibangu, Dar ameuawa na majambazi yaliyokuwa kwenye bodoboda wakati akiingia kwenye gari akitokea dukani eneo la River Side, Ubungo jijini Dar es Salaam hivi punde.

Kabla ya kuuawa sista huyo, dereva wake alipigwa risasi mkononi na majambazi hayo.

Habari zaidi pamoja na picha zitawajia baadaye!


Habari na GLOBALNEW