Oct 19, 2013

RAIS KIKWETE ASIMIKWA UCHIFU WA KABILA LA WABENA MKOANI NJOMBE

rais jakaya akivikwa kiremba cha uchifu huko kwa kabila la webena mkoani njombe


  Wazee wa Kabila la Wabena wakimsimika Uchifu Rais Jakaya Kikwete.


  Chifu Mpya wa Kabila la Wabena,Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia wakazi wa Mkoa Mpya wa Njombe


 Rais Jakaya Kikwete akipokea Mkuki wakati akisimikwa Uchifu wa Kabila la Wabena na mmoja wa wawakilishi wa Wazee wa Kabila hilo,kwenye wa Hafla ya Uzinduzi wa Mkoa wa Mpya wa njombe



HONGERA SANA MHESHIMIWA JAKAYA KWA KUWA CHIFU WA WABENA



                         picha na jiachieBLOG+wamburababu