Oct 26, 2013

JUKWAA LA WAHARIRI WA HABARI TANZANIA WATEMBELEA SHAMBA LA MIFUGO LA ASAS DAIRIES LTD IRINGA





























Jukwaa la  wahariri wa  vyombo  vya habari nchini Tanzania  wakiwa katika  picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa shamba la mifugo la Asas Dairies Ltd Bw  Salim Asas Abri katikati  na kushoto kwake mweye miwani na suti ya kaawia  ni mwenyekiti wa  jukwaa  hilo Bw Absolom Kibanda